MAFUTA HAYA YAMENIFANYA KUWA MHUBIRI MAARUFU NA TAJIRI

Furaha ya Mhubiri yeyote ni kuona kanisa lake likiwa limejaa waumini, Kanisa linapokuwa halina waumini au waumini wachache, hiyo ni ishara tosha kwamba Mhubiri bado kuna kiwango fulani cha utendaji hajakifikia.

Kazi ya huduma kwangu ilikuwa ngumu kwani ilikumbwa na upinzani kutoka kila sehemu, Kanisa langu lilikua ni changa kabisa, nililifungua muda mfupi baada ya kumaliza mafunzo ya Theolojia huko Nakuru.

Nilikuwa bado mgeni kwenye mambo ya kuhubiri kwani watu wengi hawakuniamini kwamba ningeweza kuwa na ujuzi ule wa kueneza neno.

Baada ya siku chache kupita wahumini walianza kujaa kanisani na hapo nikafahamu fika kwamba kanisa langu lilikuwa limeanza kupata umaarufu. Idadi kubwa ya waumini wale ilikuwa ni kina dada na vijana, walifurahia uwezo wangu na kucheza nyimbo za Injili.

Siku zilivyozidi kwenda, kanisa lile lilizidi watu wengi sana, ilibidi nichukue hatua kama Mhubiri, ndipo nikaanza kuchangisha fedha kwa ajili ya ujenzi wa kanisa lingine. 

Baada ya waumini wale kusikia kuwa wangepaswa kusaidia katika ujenzi wa kanisa jipya, wote walitokomea nisijiue walikokwenda kwani kanisa langu lilibaki tupu.

Nilihubiria mke na watoto wangu pekee, hali hii ilinipa wasiwasi na hata mara kwa mara nilimuuliza mke wangu iwapo lilikuwa jambo la busara kufunga kanisa lile.

Huu ulikuwa tu ni mwanzo wa matatizo, hakuna yeyote aliyetaka kuja kanisani kwangu, sikufa moyo kwani hali ile ilinipa uwezo wa kuomba hata zaidi.

Katika harakati zile za kutafuta suluhisho, nilikutana na Kibet ambaye alikuwa Mhubiri mashuhuri wa kanisa moja Nakuru, niliomba ushauri kwake, nilitaka kujua ni vipi kanisa lake lilikuwa likiendelea na kuwa na ufuasi wengi.

Alinielekeza kwenye mtandao www.african-doctors.com na hapo nikapata namba ya African Doctors, tuliwasiliana na kisha kunikaribisha katika Ofisi yake ya Nakuru, nilipofika Ofisini kwake nilikuta pia Wahubiri wengine waliokuwa katika foleni wakingoja kuhudumiwa.

Nilimuelezea matatizo yangu na hapo hapo akanipa mafuta ambayo aliniambia niyamimine kwenye madhabahu ya kanisa langu.

Nilirejea nyumbani na asubuhi na mapema nilienda kufanya kama alivyonielekeza, siku ya Jumapili ilipofika nilishangaa kwani watu walifurika katika kanisa langu, nafasi za kukaa zilikosekana jambo lilopelekea wengine kusimama kwenye madirisha.

Kila mtu alitaka kuingia ndani ili aweze kupata huduma yangu, siku zilipoenda nilichangaisha fedha kutoka kwa waumini wale na hapo nikajenga kanisa kubwa ambapo waumini wote walipata nafasi.

Nilianza pia kupata kazi nyingine za huduma za kwenda nje ya nchi kuhubiri katika nchi za ughaibuni kama vile Nigeria, Congo na hata Afrika Kusini. Nilikuwa maarufu zaidi jambo hadi kufungua kituo changu cha runinga ili kurusha mahubiri yangu.

Wasiliana na African Doctors kwa namba; +254 769 404965, tembelea tovuti yao; www.african-doctors.com au watumie email; africandoctorheals@gmail.com.

Mwisho. 

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments