MKURUGENZI WA NEC AFANYA MAZUNGUMZO NA SPIKA WA BUNGE


Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Tulia Ackson, amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mkuu wa tume ya Uchaguzi nchini Ndg. Ramadhan Kailima Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma leo Aprili 5, 2023.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments