NEMC YAONESHA ULIMWENGU JINSI YA MAZINGIRA YA UWEKEZAJI YALIYOBORESHWA KUVUTIA UWEKEZAJI TANZANIA KWENYE MAONESHO QATAR

Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) wanashiriki katika maonesho ya Kimataifa ya Kilimo na Mazingira nchini Qatar kwa ajili ya kutoa elimu na kuonesha ulimwengu jinsi mazingira ya uwekezaji yalivyoboreshwa na kurahisishwa kwa ajili ya kuvutia uwekezaji nchini. Vilevile wanaeleza fursa zilizopo za uwekezaji hasa katika kilimo endelevu kinachozingatia uhifadhi wa mazingira pamoja na utalii kwa ajili ya maendeleo endelevu. Baraza linaelimisha wawekezaji wa Kimataifa juu ya kufanya Tathimini ya Athari kwa Mazingira (TAM)

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments