Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Shinyanga Mhe. Santiel Kirumba amekabidhi Kompyuta tano na Printer 1 katika Shule ya Sekondari Old Shinyanga ili kuongeza ufanisi katika ufundishaji wa masomo ya TEHAMA.
MBUNGE SANTIEL KIRUMBA AKABIDHI COMPUTER, PRINTER SHULE YA SEKONDARI OLD SHINYANGA
0
Post a Comment