KILICHOMPATA ALIYETAKA KUNITAPELI SHAMBA LANGU

Kuwa na makazi mazuri ni sehemu ya mambo matatu ya muhimu (basic needs) kwa binadamu yeyote ukiachilia mbali chakula na mavazi, hivyo katika kutafuta kwangu maisha, nilijitahidi sana niweze kujenga nyumba.


Hiyo ni kwa sababu wazazi wangu wenyewe hawakuwahi kuwa na nyumba yao hadi tunazaliwa na kuwa watu wazima, nao walitulea kwenye nyumba hizo za kupanga toka tunazaliwa hadi tukawa watu wazima na kuanza kujitemea na kufanya maisha yetu.

Siku zote ndoto yangu ilikuwa ninunue shamba halafu nijenge nyumba ili wazazi wangu waje kuishi hapo na baadaye nijenge hapo pembeni nyumba yangu na familia yake.

Kwa kweli sikupenda kuona wazazi wangu wanafikia hatua ya uzee wakiwa kwenye nyumba za kupanga kwani itafikia muda watakosa nguvu za kufanya kazi na watashindwa kulipa kodi.

Hatimaye nilifanikiwa kununua shamba heka moja na mara moja nilianza ujenzi kutokana nilikuwa nimejipanga kisawasawa, mafundi walifanya kazi usiku na mchana hadi kazi hiyo ikaisha na nami na wazazi wangu tukahamia katika nyumba hiyo.

Hata hivyo, siku moja nikiwa nyumbani, alijitokeza mtu mmoja na kudai eneo lile shamba ni la kwake pia, nilimwambia nina hati ya kumiliki ardhi hiyo naye akasema anayo pia, nilipojaribu kuulizia kwa mtu aliyeniuzia akasema siyo kweli, huyo ni tapeli.

Baada ya wiki kama mbili, mtu yule naye akaleta vifaa na mafundi mara moja ili kuanza ujenzi, jambo hilo lilinichanganya sana hasa pale niliposikia mtu huyu ana nguvu kubwa kifedha, huvyo anaweza kusema mimi ndio nimevamia eneo lake.

Kwa kutambukua uzito wa jambo hilo, niliamua kuwashirikisha ndugu zangu kadhaa ili wanipe ushauri wa kufanya, sitomsahau rafiki yangu Moses aliyenipatia namba ya Dr. Kiwanga, nilipiga na kuwasiliana naye na kumuomba ananifanyie dawa ya kuondoa tatizo hilo.

Basi, Dr. Kiwanga aliniambia ndani ya siku tatu nitapata majibu sahihi, lakini kabla ya siku tatu kuisha nilipigiwa simu na kuambiwa
yule aliyevamia eneo langu amepata ajali mbaya ya gari na kwamba amelazwa Hospitali, licha ya kuwa alikuwa amenitendea ubaya, kweli kama binadamu nilishtuka sana.

Alikaa Hospitali kwa muda mrefu sana, zaidi ya miezi miwili, akiwa huko alituma watu waje nyumbani kuniomba msamaha kwa kile alichonifanyie na kuahidi hataendelea na ujenzi huo. Nami niliamua kumsamehe na sasa naendelea vizuri na maisha yangu na tayari nimejenga nyumba yangu ya pili.

Kumbuka kuwa Dr. Kiwanga ana uwezo wa kuwezesha kuwa mtu wa bahati maishani, ana uwezo wa kukukinga na adui zako wanaokutakia mabaya kwa wakati wowote ule kwa muda wa siku tatu utaona matokeo yake utayaona.

Kwa mengi zaidi wasiliana nao kupitia barua pepe kiwangadoctors@gmail.com au kwenye wavuti www.kiwangadoctors.com au waweza kuwasiliana nao kupitia namba ya simu +254 769404965.


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments