MWANDISHI WA HABARI EDWIN SOKO ATEULIWA KUWA MKURUGENZI MTENDAJI WA TAASISI YA TMFD



Taasisi ya Tanzania Media for Maritime and Fisheries Development (TMFD) inayofanya kazi katika eneo la vyombo vya habari na uvuvi hapa Tanzania imepata Mkurugenzi wake mpya.


Mwandishi wa habari mkongwe Bwana Edwin Soko ameteuliwa kuwa Mkurugenzi mpya wa taasisi hiyo.


Uteuzi huo umetangazwa kupitia taarifa kwa umma iliyotolewa na Mwenyekiti wa bodi ya Wakurugenzi ya (TMFD) Bwana Tumaini Mbibo jana Februari 17, 2023 na uteuzi huo umeanza rasmi jana.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments