MWANAMKE AFARIKI DUNI BAADA YA KUSHAMBULIWA NA MAMBA AKIOGA MTONI

 

Mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la Modesta Shido (31) mkazi wa Ubaruku Mbarali Mkoani Mbeya amekutwa amefariki kwa kushambuliwa na Mamba sehemu a kiunoni wakati akioga Mtoni katika Mto wa Mkoji uliopo katika Kijiji cha Lyala Mkoani Mbeya.

Akithibitisha tukio Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya ACP Benjamin Kuzaga amesema limetokea Mnamo tarehe 09.01.2023 majira ya saa Tisa Mchana huko katika Kijiji cha lyala Kata ya Luhanga Mbarali ambapo Chanzo cha kifo ni kuoga Mtoni na kupelekea kung na Mamba katika Mto wa Mkoji.


Kamanda Kuzaga ametoa wito kwa Wananchi kuacha kuwa na tabia ya kuoga mtoni.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments