CCM YAPITISHA MAJINA 374 YA WAGOMBEA UJUMBE WA NEC....ORODHA YOTE HII HAPA

 

NA DIRAMAKINI

HALMASHAURI Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM)-NEC imepitisha majina ya wagombea 374 kuwania ujumbe wa NEC.

Wagombea hawa watachuana kuwania viti 30 kwa maana ya 15 Tanzania Bara na 15 Zanzibar katika mkutano mkuu wa CCM unaoanza Desemba 7 hadi 8,2022.

Kikao cha kuchuja majina ya wagombea zaidi ya 2,000 kimefanyika leo Desemba 2022 chini ya Mwenyekiti wa CCM Taifa, Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Tanzania Bara wamepitishwa wagombea 251 watakaowania nafasi 15. Kati ya hao 251, wanawake ni 79 na wanaume 172;










KUTOKA ZANZIBAR, MAJINA YALIYOPITISHWA



Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments