BUNGE LAPITISHA SHERIA HAKUNA KUJAMIIANA KAMA HAMJAFUNGA NDOA


Bunge la nchini Indonesia limepitisha sheria mpya inayokataza watu kujamiana kama hawajafunga ndoa, ikijumuisha mpaka wageni wanaoingia nchini humo.

Kupitia sheria hiyo mpya wapenzi ambao watashiriki tendo la ndoa na hawajafunga ndoa watafungwa jela mwaka mmoja kwa kuvunja sheria.

Pia ni marufuku kwa mwanamke na mwanaume kuishi pamoja bila ndoa, kifungo chake ni miezi 6 ukivunja sheria.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments