FEI TOTO AAGA MASHABIKI...YANGA YAGOMA



NYOTA wa Yanga, Feisal Salum ‘Fei Toto’ amewaaga rasmi mashabiki wa timu hiyo huku ikielezwa anajiunga na Azam FC.

Kupitia barua iliyochapishwa na nyota huyo kupitia mtandao yake ya kijamii aliandika;-

Wakati Feisal akiaga taarifa iliyotolewa na Klabu hiyo iliendelea kusisitiza kwamba nyota huyo bado ni mali yao kwani ana mkataba hadi kufikia Mei 30, 2024 na tayari walianza mazungumzo na wawakilishi wake wakiongozwa na Mama yake mzazi ili kuboresha maslahi yake.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments