Breaking News : NDEGE YA PRECISION AIR YAANGUKA ZIWA VICTORIA


Habari zilizotufikia hivi punde ni Ndege ya Kampuni la Ndege la Precision Air imeanguka katika Ziwa Victoria baada ya kushindwa kutua kwenye Uwanja wa Ndege wa Bukoba wakati ikijaribu kutua kwenye uwanja huo asubuhi hii leo Jumapili Novemba 6,2022.


Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera, William Mwampaghale
amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo na wanaendelea na juhudi za uokozi.


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments