HATIMAYE WILLIAM RUTO AWASILIANA NA UHURU KENYATTA


Uhuru Kenyatta na William Samoei Ruto

NI muda ulipita tangu Rais mteule awasiliane na Uhuru Kenyata baada ya watu hao wawili kuhitirafiana kutokana na Uhuru kuamua kumsapoti mpinzani wa Ruto Bw. Raila Odinga.


Katika hotuba aliyoitoa baaada ya kuidhinishwa na mahakama kuwa rais alieleza kua wanamuda mrefu tangu awasiliane na Rais Kenyata.

Ujumbe aliouchapisha Ruto kwenye Ukurasa wa Twitter

Lakini kupitia mtandao wa twitter Bw Ruto amesema ameweza kuwasiliana na Uhuru Kenyata na kuweza kuelezana kuhusu sherehe za kimila kama jadi yao pamoja na demokrasia.


Imeandikwa:Dunstan Mtili Erick kwa msaada wa mitandao

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments