CHEGENI ATENGULIWA UKUU WA MKOA SIKU MOJA KABLA YA KUAPISHWA....SAMIA ATEUA RC MWINGINE
Sunday, July 31, 2022
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan leo Jumapili Julai 31, 2022 amemteua Meja Jenerali Suleimani Mzee (Kulia pichani) kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara na kutengua uteuzi wa Dkt. Raphael Chegeni (Kushoto Pichani) ambaye aliteuliwa Julai 28,2022 kuchukua nafasi ya Ally Hapi.
kabla ya uteuzi huo Meja Jenerali Mzee alikuwa Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin