Picha ya Bi Hindu enzi za uhai wake
Mmoja wa waasisi wa Kaole Sanaa Bi Chuma Suleiman maarufu kama 'Bi Hindu' amefariki dunia leo nyumbani kwake Magomeni, Dar es Salaam baada ya kusumbuliwa na maradhi ya muda mrefu.
Download/Pakua App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527
Post a Comment