Post Top Ad
Wednesday, June 22, 2022
YANGA SC YAENDELEA KUTESA LIGI KUU NBC
*********
NA EMMANUEL MBATILO,DAR ES SALAAM
MABINGWA wa Ligi Kuu Tanzania Bara NBC, Yanga imeendelea kutoa dozi kwenye lihi hiyo baada ya leo kuichapa timu ya Polisi Tanzania kwa mabao 2-0 mchezo ambao ulipigwa kwenye dimba la Benjamini Mkapa Jijini Dar es Salaam.
Mchezo huo ambao ulikuwa wa 28 kwenye ligi hikiwa Yanga Sc ikicheza bila kupoteza mchezo wowote huku mshambuliaji wao Fiston Mayele akishindwa kupachika bao kwenye mchezo wa leo.
Mabao pekee ya Yanga yamewekwa kimyani na Feisal Salum "Fei Toto" pamoja na Chico Ushindi ambapo mabao yote yamefungwa kipindi cha kwanza.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Author Details
Malunde 1 blog ni blog ya Kiswahili maarufu duniani kwa habari za Matukio, Siasa, Magazeti, Nyimbo za asili na habari za kusisimua.
No comments:
Post a Comment