TAIFA STARS YATOKA SARE 1-1 NA NIGER, HASIRA KUMALIZIA KWA ALGERIA



**************

NA EMMANUEL MBATILO

TIMU ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) imelazimishwa sare na timu ya Taifa ya Niger kwa kutoka 1-1 mchezo ambao ulipigwa nchini Niger.

George Mpole ndiye alieanza kupachika bao dakika 1 ya mchezo tu na kuitanguliza Taifa Stars kwa bao 1-0 kabla ya timu ya Niger kusawazisha bao kupitia kwa nyota wao Daniel Sosah dakika ya 26 ya mchezo.

Taifa Stars itacheza mchezo wake wa pili kufuzu Afcon 2023 na timu ya Taifa ya Algeria, mchezo ambao utaoigwa kwenye dimba la Benjamini Mkapa Jijin Dar es Salaam Jumatano hii ya Juni 8,2022.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments