MKURUGENZI WA MAWASILIANO YA RAIS, IKULU BI. ZUHURA YUNUS AZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI IKULU JIJINI DAR ES SALAAM


Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu Bi. Zuhura Yunus akizungumza na Waandishi wa Habari kutoka vyombo mbalimbali vya Habari kuhusiana na Mafanikio ya Ziara Rasmi ya Kiserikali iliyofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan nchini Oman hivi karibuni. Mkutano huo na Waandishi umefanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 28 Juni, 2022.


Waziri wa Nishati Mhe. Januari Makamba akizungumza na Waandishi wa Habari kutoka vyombo mbalimbali vya Habari kuhusiana na Mafanikio ya Ziara Rasmi ya Kiserikali iliyofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan nchini Oman hivi karibuni.


Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mashimba Ndaki akizungumza na Waandishi wa Habari kutoka vyombo mbalimbali vya Habari kuhusiana na Mafanikio ya Ziara Rasmi ya Kiserikali iliyofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan nchini Oman hivi karibuni.


Katibu Mkuu wa wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara akizungumza na Waandishi wa Habari kutoka vyombo mbalimbali vya Habari kuhusiana na Mafanikio ya Ziara Rasmi ya Kiserikali iliyofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan nchini Oman hivi karibuni.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments