SHULE AMBAYO WANAFUNZI WAVULANA WANAVAA NGUO KAMA SKETI


Wanafunzi wa kiume wakiwa katika monekano wa kike baada ya kuvaa sketi
**
NYAKASURA ni shule ya mchanganyiko ya bweni, ya kata ya upili iliyopo huko magharibi mwa nchi ya Uganda ambayo wanafunzi wa kiume wanavaa sare za ‘Kilt’ zenye muonekano wa sketi.


Unaambiwa shule hiyo ilianzishwa miaka 96 iliyopita na Missionari wa Scotland Kamanda Enest Calwell ambaye inasemekana ndio ameanzisha utamaduni wa kuvaa sare hizo.


Mkuu wa Shule hiyo amekanusha kwa kusema sare hizo za ‘Kilt’ sio sketi na huvaliwa kwa kawaida huko nyanda za juu Scotland.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments