CHRISTOPHER NDIZEYE ATEULIWA KUWA ASKOFU WA JIMBO LA KAHAMA


Askofu mpya Jimbo la Kahama, Christopher Ndizeye 
 ambaye ameteuliwa kushika nafasi hiyo kutokana na askofu aliyekuwepo Askofu Ludovick Minde kuhamishwa na kupelekwa katika Jimbo la kanisa Katoliki Moshi mkoani Kilimanjaro.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments