TANZANIA, BURUNDI NA DRC ZAANZA MCHAKATO WA KUTAFUTA MSIMAMIZI UJENZI WA RELI YA KISASA UVINZA,MSONGATI NA GITEGA

Nchi za Tanzania Burundi na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) zimeanza mchakato wa kumtafuta mtaalamu atakayesimamia ujenzi wa reli ya kisasa kwa vipande vya Uvinza Msongati na Gitega.

Hii inakuja siku chache tangu nchi hizi zisaini makubaliano ya awali kuhusu kuanza mchakato wa kutafuta fedha kwa wahisani zitakazofanikisha ujenzi huo.

Haya yamesemwa na Katibu Mtendaji wa Taasisi ya Ushoroba wa Kati Kapteini Dioudone Dukundane wakati wa mahojiano maalum na wanahabari.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments