TAMASHA LA UTAMADUNI WA KISUKUMA KUFANYIKA NHELEGANI -KIZUMBI SHINYANGA KUANZIA APRILI 22 - 23, 2022


Tamasha la Utamaduni wa Kisukuma 'Shinyanga Municipal Sukuma Festival' lililoandaliwa na Br. Black Social Partners kwa ajili ya kuuenzi utamaduni wa Kabila la Wasukuma litafanyika kuanzia Ijumaa Aprili 22 hadi Jumamosi Aprili 23,2022 katika viwanja vya shule ya msingi Nhelegani Kizumbi Manispaa ya Shinyanga.

Mgeni rasmi katika tamasha hili 'Lejigukulu lya Nzengo' anatarajiwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Sophia Mjema

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments