News Alert : HAYA HAPA MAJINA 1143 WALIOITWA KWENYE USAILI WA ANWANI ZA MAKAZI NA POSTIKODI MANISPAA YA SHINYANGA

Hii hapa orodha ya majina ya waombaji wa nafasi ya kazi ya Ukusanyaji wa taarifa za anwani za makazi na Postikodi Manispaa ya Shinyanga waliokidhi vigezo kufika kwenye usaili siku ya Alhamisi na Ijumaa tarehe 03.03.2022 na 04.03.2022 katika ofisi ya Kata ya Ndembezi, Ngokolo na kata ya Mjini

TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA ANWANI ZA MAKAZI NA POSTIKODI

TANGAZO LA USAILI ANWANI ZA MAKAZI.pdf



Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post