Post Top Ad
Sunday, February 27, 2022
RAIS SAMIA AMTEUA BRIGEDIA JENERALI MABONGO KUWA MWENYEKITI WA BODI TPC
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amemteua Brigedia Jenerali Yohana Ocholla Mabongo, kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Posta Tanzania (TPC).
Brigedia Jenerali Mabongo ni Mkuu wa Kitengo cha TEHAMA, Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa.
Uteuzi huu umeanza tarehe 24 Februari, 2022
Zuhura Yunus
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Author Details
Malunde 1 blog ni blog ya Kiswahili maarufu duniani kwa habari za Matukio, Siasa, Magazeti, Nyimbo za asili na habari za kusisimua.
No comments:
Post a Comment