MISS UKRAINE AINGIA VITANI


Miss Ukraine mwaka 2015, Anastasia Lenna
***
Miss Ukraine mwaka 2015, Anastasia Lenna ametangaza kuingia vitani kusaidia nchi yake katika vita ya Urusi.

Anastasia kupitia ukurasa wake wa instagram ame-post video akiwa anajifunza kutumia bunduki na kusema yoyote atakaevuka mipaka atauawa.

Pia ametawaka wanajeshi wa Ukraine waziondoe alama za barabarani ili kupoteza mwelekeo kwa wanajeshi wa Urusi wakitembea ndani ya nchi hiyo.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments