KIKWETE KUZINDUA KITABU CHA MAISHA YAKE



Rais mstaafu wa awamu ya nne wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete anatarajia kuzindua kitabu cha maisha yake alichokiita kwa kimombo “From a barefoot student to President” tafsiri yake kwa Lugha ni Kiswahili ni “Kutoka Mwanafunzi Aliyetembea Peku Hadi Kuwa Rais.”

Kitabu hicho kinachosubiriwa kwa hamu ni muendelezo wa utamaduni mzuri wa marais wastaafu wa Tanzania kuandika vitabu vya kumbukumbu ya maisha yao ya kawaida na uongozi.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments