AFRICAB YAKABIDHIWA LESENI NA CHETI CHA UBORA NA TBS

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Viwango Tanzania Mhandisi Johanes Maganga akimkabidhi cheti cha ubora, Meneja Usimamizi wa kampuni ya Uzalishaji wa Vifaa mbalimbali vya Umeme ya Kilimanjaro Cables ‘AFRICAB Bw.Shabbir Tinwala

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Viwango Tanzania Mhandisi Johanes Maganga akimkabidhi leseni ya biashara Meneja Usimamizi wa kampuni ya Uzalishaji wa Vifaa mbalimbali vya Umeme ya Kilimanjaro Cables ‘AFRICAB Bw.Shabbir Tinwala

*****************

NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM

Kampuni ya Uzalishaji wa Vifaa mbalimbali vya Umeme ya Kilimanjaro Cables ‘AFRICAB’ imefanikiwa kupatiwa cheti leseni ya ubora kutoka Shirika la Viwango tanzania (TBS).

Kampuni hiyo ambayo inatambulika na Serikali kwa kuzalisha bidhaa zilizobora imekuwa ikiendelea kufanya vizuri na kuwa miongoni mwa makampuni ambayo yanazalisha nyaya zilizo kiddhi viwango vinavyotakiwa.

Shirika la Viwango Tanzania (TBS) katika hafla ya makabidhiano ya vyeti na leseni kwa makampuni yanayofanya vizuri katika uzalishaji,

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments