KIOJA BAADA YA POLO MWANA-BODABODA, ALIYEMTAFUNA MKE WANGU KUKWAMA

Tuliishi na mke wangu katika jiji la Nairobi ambapo nilikuwa mwanabiashara jijini. Mara nyongi niliacha mke wangu pale nyumbani kwakua sikupenda akienda kazini kwani alikua ni mrembo ajabu na niliogopa iwapo angeenda kazini ingesambaratisha uhusiano wetu. 

Kwa mara nyingi nilihofia hata atembee kwenda dukani kwani nilihofia angenyakuliwa wakati wowote wanaume wenye tamaa. Ndoa yetu haikukumbwa na misukosuko kwa wakati wowote kwani tuliaminiana pakubwa.

 Ilifikia wakati ambapo nilitafuta kalameni mwanabodaboda ili awe akisambaza bidhaa za nyumba ambazo mke wangu alihitaji kila mara kwani sikufurahia mke wanhu akizurura kila mara. Basi jukumu hilo la usambazaji wa bidhaa nilimpa polo yule. 

Baada ya siku kadhaa za usambazaji wa bidhaa pale nyumbani, mwanabodaboda yule aliichukua fursa ile kumchanganya mke wangu akamtongoza na akaichukua nambari yake ya simu walioitumia kuwasiliana kila mara. 

Siku moja nilipata ujumbe kwenye simu ya mke wangu kwamba mwanabodaboda yule alikua akimshukuru akimsifu kuwa yeye ni mrembo wa kupendeza ajabu na hastahili kupendwa na mwanaume tu yeyote bali mtu kama yeye. 

Ujumbe huu ulinipandisha mori na nilipomuliza mke wangu kilichokuwa kikiendelea alikana kutohusiana na ujumbe ule kwani hata alisema kuwa ilikua ni nambari asiyoifahamu kamwe. Sikua na lolote la kuongeza wala kupunguza kwani tayari nilikua nimevunjika mtima.

Nilifahamu kua mwanabodaboda yule alikua akichovya asali yangu. Sikusitisha kazi yake ya kusambaza bidhaa pale nyumbani kwani siku moja nilifahamu fika kwamba ningemnasa hadharani mbele ya adinasi. Ingawaje niliendelea kusononeka moyoni sikua na budi kupiga moyo konde na kuendelea na shughuli zangu za kibiashara licha ya maovu niliyokuwa nikijua mke wangu alikua akifanya na polo mwanabodaboda mwenye tamaa. 

Siku moja rafiki yangu Ken alinitembelea kwenye duka langu na akapigwa na mshangao jinsi nilivokua nimesononeka. Nilimwelezea yote yaliyokua yanafanyika kwenye ndoa yangu. Alinielezea huo hakuwa mwisho wa mambo bali tu ulikua mwanzo wa mkoko kualika maua. Sikuelewa vizuri aliponieleza hivi kwani nilikua kabisa nimefinyika na tabia ya mke wangu japo nilimpenda kwa dhati nisimgombeze.

 Ken alinifungulia mtandao www.kiwangadoctors.com ambapo palikuwa na simulizi kama niliyokuwa napitia ambapo daktari Kiwanga alisuluhisha mambo yote. 

Nilimpigia daktari Kiwanga simu na akanitengea nafasi niweze kumtembelea katika ofisi zake. Mke wangu hakujua lolote kuhusu hili. 

Siku iliyofuatia nilifika afisini mwa daktari Kiwanga mapema tayari kuhudumiwa. Nilimaliza muda wa dakika thelathini unusu hivi na daktari akasema kua mambo yangu yalikua shwari.

 Nilirejea mjini kwenye biashara yangu. Jamaa yule wa bodaboda alikuja dukani kama kawaida yake kupelekea mke wangu bidhaa nyumbani.

 Ingawaje nilijua alichoenda kufanya baadaye sikuwa na shaka kwani daktari Kiwanga alikuwa amenihakikishia hali iko shwari kabisa.

 Baada ya dakika chache hivi nilipokea simu iliyokua inaniamrisha nifike nyumbani kwa haraka. Nilifunga biashara zangu na kukimbia nyumbani. Nilipigwa na butwaa nilipoona umati wa jinsi ulivyokuwa umejaa kwenye sehemu ya nyumba yetu.

 Sikufahamu fika ni kipi kilikua kimetokea. Nilipofika ndani ya nyumba nilipata kalameni yule wa bodaboda wakiwa wamekwamana na mke wangu kwenye kochi wakishiriki mapenzi. Walikuwa wanalia maumivu. Nilijiambia moyoni kwamba daktari Kiwanga ndio mambo yote na kuwa hakunidanganya yeye ndiye daktari bora kwenye ukanda wa Afrika Mashariki.

 Hili lilidhihirika wazi na mambo niliyoyaona chumbani mwangu. Baadaye nilimpigia daktari Kiwanga na mwanabodaboda yule alitakiwa kulipa kiasi cha shilingi elfu hamsini kutatua mambo.

 Familia yake ililipa pesa zile na daktari Kiwanga akafanya mambo yake akawakwamua. Tangu siku ile tuliishi kwa amani na mke wangu kwani tuliaminiana hata zaidi. 

Tuliishi kwa upendo na furaha. Mtu yeyote anayekumbwa na misukosuko sampuli hii kwenye ndoa namshauri atembelee dakatri Kiwanga kwa kuwa ndiye mwalimu wa suluhisho. Anasuluhisha biashara isiyo dhabiti, mapenzi yenye misukosuko, kukomesha uchawi na mambo mengineyo kwa siku tatu pekee. Waweza kumpata Dkt. Kiwanga kupitia wavuti www.kiwangadoctors.com barua pepe kiwangadoctors@gmail.com au piga simu kwa nambari +254769404965.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments