AVALISHWA PETE YA UCHUMBA YENYE MIIBA...AKIIVUA INAKULA KWAKE



Rapper Machine Gun Kelly (31) amethibitishwa kwenye Jarida la Vogue kuwa pete ya mchumba wake Megan Fox (35) imewekewa miiba na kila akijaribu kuivua atapata maumivu makali.

MGK Alikuwa akiongelea uchumba wao, amefunguka kuwa; “Ni miba kwenye pete yake, akitoa ataumia, YES LOVE IS PAIN”.

Ingawa kitendo hichi kimechukuliwa kama MGK anataka kumkomoa Megan kama wataachana. Lakini hata hivyo wapenzi hawa hawana tatizo na pete hio yenye mawe mawili ya Emerald, MGK alimvalisha pete Megan Januari 11 2022.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments