WASICHANA WANG'ARA MATOKEO KIDATO CHA NNE...TAZAMA HAPA MATOKEO - MALUNDE 1 BLOG | Fahari ya Shinyanga
  • Disclaimer
  • About
  • Contact Us
  • Facebook

MALUNDE 1 BLOG
    • Habari
    • Shinyanga
    • Michezo
    • Burudani
    • Mapenzi
    • Matukio
    • Afya
    • Magazeti
    • Vituko
    • Nyimbo za Asili
    • Utamaduni
  • Breaking

    Post Top Ad

    Sunday, January 16, 2022

    Home habari matukio WASICHANA WANG'ARA MATOKEO KIDATO CHA NNE...TAZAMA HAPA MATOKEO

    WASICHANA WANG'ARA MATOKEO KIDATO CHA NNE...TAZAMA HAPA MATOKEO

    Sunday, January 16, 2022 ,habari ,matukio

    Wasichana wameng'ara zaidi kwenye orodha ya wanafunzi 10 bora kitaifa kwenye matokeo ya kidato cha nne 2021

    Hayo yamebainishwa Januari 15, 2022 na Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Mitihani (Necta), Dk Charles Msonde wakati akitoa taarifa ya matokeo ya darasa la nne, kidato cha pili na kidato cha nne.

    Matokeo hayo yanaonyesha wasichana wanane wameingia kwenye orodha ya wanafunzi kumi bora waliofanya vizuri kwenye matokeo ya mtihani wa kidato cha nne uliifanyika Novemba mwaka jana.

    Kati ya hao, wasichana saba wanatoka shule ya St. Francis Girls iliyopo mkoani Mbeya, msichana mwingine akitoka shule ya Bright Future Girls huku wavulana pekee walioingia kwenye kumi bora kitaifa wakitoka shule za Feza Boys ya Dar es Salaam na Ilboru ya Arusha.

    Walioingia kwenye orodha hiyo ni pamoja na Consolata Lubuva, Buthoi Nkangaza, Wilihelmina Mujarifu, Glory Mbele na Mary Ngoso, wote kutoka shule ya St. Francis Girls iliyopo mkoani Mbeya.

    Bonyeza kila kiungio hapa chini kuona matokeo husika;

    MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE (CSEE) 2021

    MATOKEO YA MTIHANI WA MAARIFA (QT) 2021

    MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA KIDATO CHA PILI (FTNA) 2021

    MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2021

    Download/Pakua App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

    Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
    Tags habari# matukio#
    Share This
    Author Image

    About Unknown

    matukio
    On Sunday, January 16, 2022
    Email ThisBlogThis!Share to TwitterShare to FacebookShare to Pinterest
    E.E.M habari, matukio

    No comments:

    Post a Comment

    Newer Post Older Post Home
    Subscribe to: Post Comments (Atom)

    Author Details

    Malunde 1 blog ni blog ya Kiswahili maarufu duniani kwa habari za Matukio, Siasa, Magazeti, Nyimbo za asili na habari za kusisimua.

    TAFUTA HABARI HAPA

    HABARI 5 ZILIZOBAMBA

    • HAYA HAPA MAJINA YA VIJANA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA MAFUNZO YA JKT 2022
      TAARIFA KWA UMMA  WITO WA KUJIUNGA NA MAFUNZO YA JKT KWA MUJIBU WA SHERIA MWAKA 2022  Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), linawaita Vijana waliohi...
    • JAMAA ALIYEUA MKE KWA KUMPIGA RISASI MWANZA AJIUA...MKE HAKUPOKEA SIMU ZA MMEWE MARA 37
        Swalha enzi za uhai wake Mwanaume aitwaye Said Oswayo anayedaiwa kumuua kwa kumpiga risasi kadhaa mke wake Swalha Salum (28)  mkazi wa Kir...
    • HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO IJUMAA MEI 27,2022
      Magazetini leo Ijumaa May 27 2022
    • HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMATANO JUNI 1,2022
      Magazetini leo Jumatano June 1 2022
    • HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI JUNI 25,2022
      Magazetini leo Jumamosi June 25 2022
     Bofya Hapa

    HABARI KUU

    PAKUA APP YA MALUNDE 1 BLOG UWE UNAPOKEA HABARI KWA URAHISI ZAIDI

    Mpya

    Habari Kali

    • HAYA HAPA MAJINA YA VIJANA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA MAFUNZO YA JKT 2022
      TAARIFA KWA UMMA  WITO WA KUJIUNGA NA MAFUNZO YA JKT KWA MUJIBU WA SHERIA MWAKA 2022  Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), linawaita Vijana waliohi...
    • JAMAA ALIYEUA MKE KWA KUMPIGA RISASI MWANZA AJIUA...MKE HAKUPOKEA SIMU ZA MMEWE MARA 37
        Swalha enzi za uhai wake Mwanaume aitwaye Said Oswayo anayedaiwa kumuua kwa kumpiga risasi kadhaa mke wake Swalha Salum (28)  mkazi wa Kir...
    • HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO IJUMAA MEI 27,2022
      Magazetini leo Ijumaa May 27 2022
    • HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMATANO JUNI 1,2022
      Magazetini leo Jumatano June 1 2022
    • HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI JUNI 25,2022
      Magazetini leo Jumamosi June 25 2022

    Comment

    PAKUA APP YETU

     Bofya Hapa
     Bofya Hapa

    Bhudagala - Tulebhalyo

    CHAGUA HABARI

    habari matukio siasa shinyanga magazetini burudani michezo mapenzi nyimbo za asili afya mastaa vituko Matangazo utamaduni lake zone video makala hoteli sherehe

    MAKTABA YETU

    BLOGS MARAFIKI

    • NGOMA ZA ASILI

    Pages

    WASILIANA NASI

    Name

    Email *

    Message *

    Kuhusu Malunde 1 blog

    Malunde.com – The Home of News You Trust is Malunde’s leading online platform and published by Malunde Media The platform brings you the latest breaking News, Business,Politics, Sports, Songs and gives you everything you’ve come to expect and love. Our Forums are vibrant and gives everyone a chance to be heard. On your computer, tablet smart phone or on our App its quick, easy and free access all the news you love. Malunde.com is updated continually with the latest news to help you feed your addiction with stories & photos from Tanzania and many more! Contact us Email : malundekadama@yahoo.com Phone/WhatsApp +255 757 478 553 ,+255 625 918 527

    Tags

    burudani habari hoteli magazetini makala mapenzi Matangazo matukio michezo nyimbo za asili sherehe shinyanga siasa utamaduni lake zone vituko

    TAFUTA HABARI HAPA

    WALIOTEMBELEA BLOG HII

    Send Quick Message

    Name

    Email *

    Message *

    © 2021 Malunde.com. Crafted by (Imeundwa na) Gamba developer (Josphat) + 254 7 04 476 967 Whatsapp.