WATU WANNE WAFARIKI WAKICHIMBA KABURI MBEYA


Watu wanne wamefariki dunia papo hapo na mwingine kujeruhiwa baada ya kupigwa na radi wakati wakichimba kaburi katika Wilaya ya Chunya mkoani Mbeya.

Watu hao walipigwa na radi Jumapili Januari 9, 2022 wakichimba kaburi kwa ajili ya kumzika ndugu yao aliyefariki Januari 7.

Mkuu wa Wilaya ya Chunya (DC), Mayeka Mayeka amethibitisha kutokea tukio hilo huku akiwataja waliofariki kuwa ni pamoja na Yohana James (30), Paul Mwasongole (40), Swalehe Ibrahim (23) wakazi wa Chunya mjini na Bonny Lauliano mkazi Mkoa wa Songwe.

SOMA ZAIDI HAPA   

CHANZO : MWANANCHI

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments