Post Top Ad
Friday, December 31, 2021
Home
habari
matukio
MHUDUMU WA BAA AMUUA MWENZAKE KWA CHUPA WAKIGOMBANIA CHENJI 2500 ILIYOACHWA NA MTEJA
MHUDUMU WA BAA AMUUA MWENZAKE KWA CHUPA WAKIGOMBANIA CHENJI 2500 ILIYOACHWA NA MTEJA
Jeshi la Polisi Mkoani Mbeya linamshikilia mhudumu wa baa Pendo Mwakifamba (21) kwa tuhuma za mauaji ya Hilda Mwambona (25) kwa kumkata na chupa sehemu mbalimbali eneo la tumboni.
Kamanda wa Polisi Mkoani Mbeya, Urlich Matei amesema tukio hilo limetokea jana wakati mtuhumiwa na marehemu wakigombea Shilingi 2,500 ambayo ni chenji iliyoachwa na mteja aliyekuwa akipata kinywaji.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Author Details
Malunde 1 blog ni blog ya Kiswahili maarufu duniani kwa habari za Matukio, Siasa, Magazeti, Nyimbo za asili na habari za kusisimua.
No comments:
Post a Comment