Post Top Ad
Saturday, December 11, 2021
SIMBA NA YANGA WAMALIZA BILA KUFUNGANA KWA MKAPA
MECHI ya Ligi Kuu ya Tanzania Bara baina ya watani wa jadi, Simba na Yanga imemalizika kwa sare ya bila mabao jioni hii Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam.
Kwa sare hiyo, Yanga SC inafikisha pointi 20 na kuendelea kuongoza ligi kwa pointi mbili zaidi ya mabingwa watetezi, Simba SC baada ya wote kucheza mechi nane.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Author Details
Malunde 1 blog ni blog ya Kiswahili maarufu duniani kwa habari za Matukio, Siasa, Magazeti, Nyimbo za asili na habari za kusisimua.
No comments:
Post a Comment