Picha : RAIS SAMIA AREJEA TANZANIA AKITOKEA MISRI


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Viongozi mbalimbali wa Serikali alipowasili katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es salaam leo tarehe 12 Novemba 2021 akitokea nchini Misri baada ya kukamilisha ziara yake ya Kosertikali ya siku tatu kufuatia mwaliko wa Rais wa nchi hiyo Mhe. Abdel Fattah Al Sisi.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiwasili katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es salaam leo tarehe 12 Novemba 2021 akitokea nchini Misri baada ya kukamilisha ziara yake ya Kosertikali ya siku tatu kufuatia mwaliko wa Rais wa nchi hiyo Mhe. Abdel Fattah Al Sisi.
PICHA NA IKULU

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments