TRA YAENDESHA KAMPENI YA ELIMU KWA MLIPA KODI RUVUMA

Meneja wa Huduma kwa Mlipakodi kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bi. Honester Ndunguru akizungumza na Mkuu wa Wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma Mhe. Kanali Laban Thomas wakati timu ya maofisa kutoka TRA walipowasili wilayani humo kwa ajili ya kufanya kampeni ya elimu kwa mlipakodi.
Mkuu wa Wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma Mhe. Kanali Laban Thomas akizungumza na maofisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) walipofika wilayani humo kwa ajili ya kufanya kampeni ya elimu kwa mlipakodi inayoendelea mkoani humo.
Afisa Msimamizi Mkuu wa Kodi kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. James Ntalika akimuelimisha mfanyabiashara wa Wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma wakati wa kampeni ya elimu kwa mlipakodi inayoendelea mkoani humo.
Mkuu wa Wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma Mhe. Kanali Laban Thomas (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na maofisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) walipofika wilayani humo kwa ajili ya kufanya kampeni ya elimu kwa mlipakodi inayoendelea mkoani humo.

Afisa Msimamizi wa Kodi kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Shaga Gagunda akimuelimisha mfanyabiashara wa Wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma wakati wa kampeni ya elimu kwa mlipakodi inayoendelea mkoani humo. (PICHA ZOTE NA TRA).

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments