OKWI AAMSHA SHANGWE TAMASHA LA SIMBA DAY


‘Surprise’ ya mchezaji wa zamani wa Simba Emmanuel Okwi imeamsha shangwe kwa maelfu waliofurika kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa, Okwi leo Septemba 19, 2021 kwenye Tamasha la Simba Day

Okwi pia amedokeza kuwa leo amekuja kama mshabiki kwa mwaliko maalum wa Mwekezaji wa Simba Mohamed Dewji.

Mchezaji huo kipenzi cha wana-simba, amegusia kuhusu kurejea msimbazi na kusema dirisha dogo haliko mbali chochote kinaweza kutokea, simba itajitupa uwanjani kumenyena na T.P Mazembe ya DRC kwenye Mchezo wa kirafiki ikiwa leo ni Simba Day.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments