MREMBO AMKIMBIA MUME MTARAJIWA SIKU YA HARUSI


Jackline Wanjiru kutoka Kenya aliamua kuchanja mbuga muda mfupi kabla ya harusi yake baada ya kugundua kuwa bwana harusi Alfred Musa alimdanganya kuwa ni mfanyakazi wa benki kumbe sio ni dereva Teksi.

Katika mahusiano yao yaliyodumu kwa miaka minne, Alfred alimwambia Jackline kuwa yeye ni mfanyakazi wa benki ya biashara katika tawi la Malindi ila baada ya kugundua kuwa mumewe anafanya kazi kama dereva wa Teksi na sio Benki aliamua kukimbia katikati ya shughuli.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments