HII NDIYO FAIDA YA KU - RESTART SMART PHONE YAKO



Ni wazi kuwa Smartphone zimekuwa ni sehemu ya maisha ya watu wengi kila siku, lakini ni vizuri ukafahamu kuwa washauri wa masuala ya Teknolojia wanasema ku-restart (kuwasha tena) simu yako angalau mara moja kwa wiki kunarahisisha utendaji kazi wa kifaa hicho.

Bob Motamedi ambaye ni mshauri wa teknolojia anasema kufanya hivyo husaidia simu kudumu na chaji lakini pia kufanya kazi haraka na vizuri zaidi ukilinganisha na simu ambayo hauja-restart.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments