MWENGE WA UHURU WATUA WILAYA YA MOROGORO KUTEMBELEA MIRADI YA BILIONI 1.3
Tuesday, August 10, 2021
Mkuu wa wilaya ya Morogoro Albert Msando leo Agosti 10 2021 amepokea Mwenge wa Uhuru kutoka wilaya ya Gairo ,ambapo mwenge huo utatembelea miradi saba ambayo inagharimu zaidi ya bilioni 1.3.
Kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Morogoro Albert Msando akipokea Mwenge wa Uhuru kutoka kwa Mkuu wa wilaya ya Gairo Jabir Omary Makame. Picha na Jackline Lolah Minja - Morogoro
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin