WANANCHI KONDE WAPIGA KURA LEO KUMCHAGUA MBUNGE WAO


Mkazi wa Msuka akionesha kidole baada ya kupiga kura katika Uchaguzi mdogo wa Ubunge jimbo la Konde, Wilaya ya Micheweni, mkoa wa Kaskazini Pemba visiwani Zanzibar. Uchaguzi huo umefanyika leo Julai 18,2021 baada ya kifo cha aliyekuwa Mbunge wa jimbo hilo. (Picha na NEC).
Mkazi wa Konde akipiga kura katika Uchaguzi mdogo wa Ubunge jimbo la Konde, Wilaya ya Micheweni, mkoa wa Kaskazini Pemba visiwani Zanzibar. Uchaguzi huo umefanyika leo Julai 18,2021 baada ya kifo cha aliyekuwa Mbunge wa jimbo hilo.
Mkazi wa Konde akipiga kura katika Uchaguzi mdogo wa Ubunge jimbo la Konde, Wilaya ya Micheweni, mkoa wa Kaskazini Pemba visiwani Zanzibar. Uchaguzi huo umefanyika leo Julai 18,2021 baada ya kifo cha aliyekuwa Mbunge wa jimbo hilo.
Mkazi wa Konde akipiga kura katika Uchaguzi mdogo wa Ubunge jimbo la Konde, Wilaya ya Micheweni, mkoa wa Kaskazini Pemba visiwani Zanzibar. Uchaguzi huo umefanyika leo Julai 18,2021 baada ya kifo cha aliyekuwa Mbunge wa jimbo hilo.
Mpigakura akiwekwa wino baada ya kupiga kura
Wananchi wakihakiki majina yao katika daftari la mpiga kura kabla ya kupiga kura katika Uchaguzi mdogo wa Ubunge jimbo la Konde, Wilaya ya Micheweni, mkoa wa Kaskazini Pemba visiwani Zanzibar. Uchaguzi huo umefanyika leo Julai 18,2021 baada ya kifo cha aliyekuwa Mbunge wa jimbo hilo.
Mpigakura akitoa kitambulisho chake na kuhakikiwa katika Daftari la Mpiga kura
Wakazi wa Konde wakiwa kawa katika foleni ya kupiga kura katika Uchaguzi mdogo wa Ubunge jimbo la Konde, Wilaya ya Micheweni, mkoa wa Kaskazini Pemba visiwani Zanzibar. Uchaguzi huo umefanyika leo Julai 18,2021 baada ya kifo cha aliyekuwa Mbunge wa jimbo hilo.
Wakazi wa Konde wakiwa kawa katika foleni ya kupiga kura katika Uchaguzi mdogo wa Ubunge jimbo la Konde, Wilaya ya Micheweni, mkoa wa Kaskazini Pemba visiwani Zanzibar. Uchaguzi huo umefanyika leo Julai 18,2021 baada ya kifo cha aliyekuwa Mbunge wa jimbo hilo.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post