RAIS SAMIA AMTEUA MATIVILA KUWA MTENDAJI MKUU WA TANROADS, PROF. MGAYA MWENYEKITI TAFICO
Friday, July 30, 2021
Rais Samia leo Julai 30, 2021 amemteua, Rogatus Hussein Mativila kuwa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads) na amemteua, Prof. Yunus Daudi Mgaya kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Uvuvi la Tanzania (Tanzania Fisheries Corporation-TAFICO) Uteuzi huo umeanza leo Julai 28, 2021
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin