Picha : RAIS SAMIA APATA CHANJO YA CORONA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan amepata chanjo ya UVIKO-19, ikiwa ni sehemu ya uzinduzi ili ianze kutumiwa na Watanzania katika kukabiliana na ugonjwa wa Corona wimbi la Tatu.

Rais amechanjwa Ikulu jijini Dar es Salaam.



Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments