Wednesday, July 28, 2021
Home
habari
RAIS MSTAAFU JAKAYA KIKWETE ATETA NA KATIBU MKUU WA JUMUIYA YA MADOLA MJINI LONDON UINGEREZA
RAIS MSTAAFU JAKAYA KIKWETE ATETA NA KATIBU MKUU WA JUMUIYA YA MADOLA MJINI LONDON UINGEREZA
Mhe. Rais Mstaafu Jakaya Kikwete akiwa na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola, Mhe Patricia Scotland mjini London, Uingereza. Rais Mstaafu kama Mwenyekiti Mteule wa Bodi ya Ushirikiano wa Elimu Duniani (GPE) yupo huko kuhudhuria Mkutano wa Wakuu wa Nchi kwa ajili ya kuchangia Elimu utakaofanyika tarehe 28-29 Julai,2021.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Author Details
Malunde 1 blog ni blog ya Kiswahili maarufu duniani kwa habari za Matukio, Siasa, Magazeti, Nyimbo za asili na habari za kusisimua.
No comments:
Post a Comment