RAIS MSTAAFU JAKAYA KIKWETE ATETA NA KATIBU MKUU WA JUMUIYA YA MADOLA MJINI LONDON UINGEREZA
Wednesday, July 28, 2021
Mhe. Rais Mstaafu Jakaya Kikwete akiwa na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola, Mhe Patricia Scotland mjini London, Uingereza. Rais Mstaafu kama Mwenyekiti Mteule wa Bodi ya Ushirikiano wa Elimu Duniani (GPE) yupo huko kuhudhuria Mkutano wa Wakuu wa Nchi kwa ajili ya kuchangia Elimu utakaofanyika tarehe 28-29 Julai,2021.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin