Tanzia : ALIYEKUWA MWENYEKITI WA CHAMA CHA MPIRA WA MIGUU SHINYANGA 'SHIREFA' BENESTA RUGORA AFARIKI DUNIA

 

Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Mpira wa Miguu Mkoa wa Shinyanga (SHIREFA)  kwa muda mrefu Benesta Rugora amefariki dunia leo Jumatano Juni 30,2021 saa  8: 30 mchana wakati akiendelea kupata matibabu katika hospitali ya Rufaa Bugando jijini Mwanza.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments