MANJI AIBUKA KWENYE MKUTANO MKUU YANGA


Mwenyekiti wa zamani wa klabu ya Yanga, Yusuph Manji leo Juni 27 ni miongoni mwa waliohudhuria mkutano wa wa Yanga.

Manji alipata nafasi ya kusalimiana na Mwenyekiti wa Yanga kwa sasa ndugu Mshindo Msolla pia alipata fursa ya kuwasalimia mashabiki wa Yanga.

Mkutano unafanyika Kwenye ukumbi wa DYCCC, Chang'ombe, Dar kuanzia asubuhi huku ajenda kubwa ikiwa ni kuelekea kwenye Kwenye mabadiliko.


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments