STEPHEN MASELE AMLILIA TB JOSHUA

 

Aliyekuwa Makamu wa Rais wa Kwanza wa Bunge la Afrika (PAP) ,Stephen Masele ametuma salamu za rambirambi kufuatia kifo cha Mhubiri wa kimataifa, Temitope Balogun Joshua maarufu TB Joshua.

TB Joshua ni mwanzilishi wa kanisa la Synagogue Church of All Nations (Scoan) na kituo cha televisheni cha Emmanuel TV ambacho amekuwa akikitumia katika mahubiri yake.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments