WAZIRI JUMAA AWESO AMZINGUA MKURUGENZI WA MAJI SENGEREMA..ATEUA MWINGINE



Waziri wa Maji, Jumaa Aweso ametengua uteuzi wa Mkurugenzi mtendaji wa maji safi na usafi wa mazingira wilayani Sengerema mkoani Mwanza, Robert Lupoja kisha kumteua Sadala Hamis kushika nafasi hiyo.

Aweso pia ameivunja Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Sengerema huku taratibu nyingine zikiendelea kufanyiwa kazi.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments