WAFANYAKAZI WA MGODI WA BUZWAGI WAADHIMISHA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI KWA KUPANDA MITI YA MATUNDA


Wafanyakazi wa mgodi  wa Barrick wa Buzwagi wameadhimisha Siku ya Mazingira Duniani mwaka 2021 kwa kupanda miti ya maembe katika eneo  la mgodi huo uliopo wilayani Kahama mkoani Shinyanga
Wafanyakazi wa Barrick Buzwagi wakishiriki kupanda miti na kumwagilia miche waliyopanda
Wafanyakazi wa Barrick Buzwagi wakishiriki kupanda miti na kumwagilia miche waliyopanda
Wafanyakazi wa Barrick Buzwagi wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kumaliza zoezi la kupanda miti kuadhimisha Siku ya Mazingira Duniani

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments