WAZIRI LUKUVI AZITAKA TAASISI ZA SERIKALI KUTENGA BAJETI YA FIDIA KABLA YA KUTWAA MAENEO
Wednesday, May 26, 2021
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi amezitaka wizara, taasisi na mamlaka mbalimbali kuhakikisha zinatenga bajeti kwa ajili ya kulipa fidia kabla ya kutwaa ardhi kutoka kwa wananchi.
Lukuvi ameyasema hayo leo Jumatano Mei 26,2021 wakati akiwasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya wizara yake kwa mwaka 2021/22.
Amesema jumla ya migogoro ya ardhi 3,171 ilipokelewa kupitia programu ya Funguka kwa Waziri ambapo hadi kufikia Mei 15, 2021 migogoro 1,144 ilishughulikiwa.
Amebainisha kuwa kati ya migogoro hiyo asilimia 39 inahusu masuala ya fidia.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin