SIKUKUU YA EID -EL- FITR NI IJUMAA MEI 14


Mufti wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zuberi ametangaza kuwa Sikukuu ya Eid El-Fitr ni Ijumaa Mei 14, 2021.

Amesema leo Mei 12, 2021 mwezi haujaonekana hivyo waumini wa dini ya Kiislamu wataendelea kufunga kwa siku ya 30.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments