Sunday, May 23, 2021
SHAKA HAMDU SHAKA AKABIDHIWA RASMI OFISI YA IDARA YA ITIKADI NA UENEZI
Katibu wa Halmashauri kuu ya CCM Itikadi na Uenezi ndg Shaka Hamdu Shaka akabidhiwa ofisi ya Idara ya Itikadi na Uenezi na ndg Humphrey Polepole (MB), leo tarehe 23 Mei 2021 Ofisi ndogo ya Makao Makuu ya CCM Lumumba.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Author Details
Malunde 1 blog ni blog ya Kiswahili maarufu duniani kwa habari za Matukio, Siasa, Magazeti, Nyimbo za asili na habari za kusisimua.
No comments:
Post a Comment